Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger amempa Theo Walcott masaa 48 kuanzia sasa kuamua kama atasaini mkataba wa miaka mitano kwa malipo ya pauni 75,000 kwa wiki au kuuzwa.

![]() |
Theo yupo mazungumzoni na Arsenal ila uwezekano wa kubaki ni mdogo |
Kama Theo akikataa kusaini mkataba - kuna chaguo moja kati ya mawili Arsenal wanatakiwa kuchagua - kumuuza sasa ama kuhatarisha aondoke bure majira ya joto ya usajili yanayofuata.
![]() |
Theo yupo mazungumzoni na Arsenal ila uwezekano wa kubaki ni mdogo |
Walcott yupo ndani ya miezi 12 ya mwisho ya mkataba wake na Arsenal, na bado hajatia saini ili kurefusha mkataba huo, ingawa mazungumzo yanaendelea inaonekana Walcott hatosaini mkataba huo.
![]() |
Livepool na City wanasubiria kwa hamu kumnyakua |
Liverpool na City wako tayari kumnasa winga huyo iwapo hatotia saini.
![]() |
Serge Gnabry: Mrithi wa nafasi ya Walcott iwapo ataondoka Emirates |
Wakati huu, Nicklas Bendtner yupo katika maongezi mazito na AC Milan juu ya uhamisho utaogharimu pauni milioni 5 kabla ya dirisha la usajili kufungwa Ijumaa hii.
JUMATANO NJEMA!!!!!!!!!!
No comments:
Post a Comment